Nchini Ethiopia, mganga wa asili amejitokeza hadharani kueleza mbinu za kale zinazotokana na historia ndefu ya nchi hiyo. Wanahistoria wanasema hatua hiyo inasaidia kuhifadhi na kuandika upya maarifa ya jadi ambayo kwa muda mrefu yalipitishwa kwa njia ya simulizi.











WhatsApp:+254720545028