Je, umewahi kujikuta kila unapoenda watu wanakuchukia bila sababu, au ukiongea kwenye kikao hakuna anayetaka kusikiliza mawazo yako? Hali hii inaitwa kukosa “kibali” au kuwa na jicho la nuksi ambalo linamfanya kila mtu akuone kama mtu mbaya au usiye na thamani. Kukosa kibali kunakosesha fursa nyingi za mikopo, misaada, na hata marafiki wema wa kukusaidia maishani.Dawa yetu ya kiasili ya “mafuta ya kibali” inafanya uso wako na maneno yako yawe na mvuto wa kipekee mbele ya watu wote, wakubwa kwa wadogo. Unapoitumia, kila mtu atakayekutana na wewe atahisi amani na kutamani kukusaidia au kufanya urafiki na wewe kwa haraka. Utakuwa mtu wa kupendwa kila mahali unapoingia, na utapata fursa na mialiko mingi ya kimaendeleo kwa sababu tu ya mvuto wa kipekee unaong’aa mwilini mwako.
